Jumapili hii kwenye THE PLAYLIST ya 100.5 Times fm Lil Ommy anamshusha Pancho Latino kutoka Bhitz. Pancho Latino ataheza nyimbo tano anazozipenda, atajibu maswali muhimu na pia atazungumzia muziki, wasanii na studio ya Bhitz.
Latino atafunguka mengi yanayoendela katika studio ya B’Hitz pamoja na kile kilichotokea katika siku za hivi karibuni. Je katika nyimbo hizo tano atacheza nyimbo zipi??? Ni Jumapili hii kwenye THE PLAYLIST kupitia 100.5 Times fm na Lil Ommy kuanzia Saa 10 hadi Saa 11 Jioni.