Bongo5 ExclusivesBurudani
Pata Tiketi za tamasha la kesho maeneo haya
Kesho ndiyo Kesho kwenye viwanja vya Leaders Club, pale jamii ya kitanzania itakapokutana kwaajili ya kujumuika na familia zao na familia za jilani yao katika tamasha lililoandaliwa na Website ya Bongo5 na kinywaji chako murua cha Kilimanjaro chini ya Kampuni ya Breweries
Tiketi zimeshaanza kuuzwa kwa wingi, katika maduka yote ambayo ni Novel Ideal Book shop lililopo pale Steers poster mpya, Jackies Pub maeneo ya Masaki, kwenye Maduka yote ya Zizou Fashion, Kona BAR pande za Sinza Makumbusho Oil Com, Victoria,Zizou Barbaer shop pande za cocacola upande wa mikocheni karibu na Clouse Fm, Mile Pamba Classic Wear maeneo ya Mwenge kituoni,Abby Sinia Beutyndani ya Mbaramwezi beach, Coco Beach Babershop na Cocobeach Oysterbay