Michezo
Pcha: Za Louis van Gaal kujiangusha mpaka chini zazua mijadala katika mitandao
Kocha wa Man United, Louis van Gaal amezua mijadala mbalimbali katika mitandaoni kutokana na uamuzi wake wa kujiangusha mpaka chini wakati akimweleza mwamuzi wa akiba Mike Dean kwamba mchezaji wa Arsenal alijiangusha.
Van Gaal aki muonyesha mwamuzi wa akiba kwa vitendo
Man United walishinda 3-2 dhidi ya Arsenal,
Mtandao wa dailymail umeweka picha hizo za watu mbalimbali wamezitengeneza Van Gaal akiwa katika matukio tofauti tofauti. Angalia hapa