Michezo

Pedro Rodriguez atua rasmi Chelsea

Klabu ya Chelsea imeipiku Manchester United katika mbio za kumsajili Pedro Rodriguez, 28, aliyekamilisha uhamisho wake kutoka Barcelona kwa ada ya ya pauni mil 21.1 na mkataba wa miaka minne ndani ya Chelsea.

PEDRO3
Pedro akiwa na mchezaji mwenzake wa zamani wa Barcelona Cesc Fabregas

Baada ya uhamisho huo kukamilika Pedro aliwajulisha mashabiki kwa tweet ya kuishukuru klabu ya Barcelona na pia akielezea furaha yake ya kujiunga na mabingwa hao watetezi wa ligi kuu nchini Uingereza.

“Naishukuru klabu ya Barcelona pamoja na Chelsea kwa kufanikisha uhamisho huu, ninatazamia kuendelea kushinda vikombe na klabu Chelsea,” alisema Pedro.

ped3
Vikombe ambavyo Pedro amewahi kushinda akiwa na klabu ya Barcelona

PEDRO4
Pedro akifanya mazoezi na mlinzi wa Chelsea Cesar Azpilicueta kwenye uwanja wa Cobham

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents