Michezo
Pep Guardiola: Ander Herrera wa Man United ndio huenda akawa mchezaji wake wa kwanza kumsajili.
Kocha Pep Guardiola baada ya uongozi wa Man City kuthibitisha kuwa kocha wao mpya kuanzia msimu ujao, tayari amesha waambia Man City kuwa kuna wachezaji ambao anawataka akiwamo John Stones kutoka Everton mmoja wao ni kutoka kwa majirani zao Man United, Herrera.
Inaripotiwa kuwa Guardiola atakapotua Man City mwishoni mwa msimu mchezaji Ander Herrera wa Man United ndio huenda akawa mchezaji wake wa kwanza kumsajili.