Michezo

Pep Guardiola: Ander Herrera wa Man United ndio huenda akawa mchezaji wake wa kwanza kumsajili.

Kocha Pep Guardiola baada ya uongozi wa Man City kuthibitisha kuwa kocha wao mpya kuanzia msimu ujao, tayari amesha waambia Man City kuwa kuna wachezaji ambao anawataka akiwamo John Stones kutoka Everton mmoja wao ni kutoka kwa majirani zao Man United, Herrera.

Pep-Guardiola11

Inaripotiwa kuwa Guardiola atakapotua Man City mwishoni mwa msimu mchezaji Ander Herrera wa Man United ndio huenda akawa mchezaji wake wa kwanza kumsajili.

maxresdefault2

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents