Burudani

Peter Msechu adai ananenepa sababu hafanyi show

Msanii wa Bongo Flava, Peter Msechu amedai kuwa ananepa kwa sababu hafanyi show.

Muimbaji huyo ambaye ameachia ngoma mpya ‘Yakawa’, ameiambia XXL ya Clouds Fm licha ya kukosa show lakini bado anajitahidi kupunguza unene na kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiomba ushauri kwake kujua namna ya kupungua.

“Nanenepa sometime sio kwamba sifanyi mazoezi, ni kwamba nakosa show, nikija jukwaani nikiruruka napungua,” amesema Msechu.

Pia ameongeza kuwa, “sasa hivi nimepungua kuna jamaa jana wamenicheki kwenye mtandao anaulizia namna ya kupungua. Sasa nina kg kama 120 nilikuwa na kg 160”.

By Peter Akaro

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents