Photos: Mid Year Bash at Elements Lounge – hosted by Huddah The Boss Lady
Kiota cha raha na burudani cha Elements usiku wa kuamkia leo kilifurika watu waliokwenda kuburudika kwenye Mid Year Bash ambayo ilishereheshwa na mrembo wa Kenya, Huddah Monroe. Hizi ni baadhi ya picha za bash hiyo iliyoandaliwa na kampuni ya SK Entertainment kwa kushirikiana na Unity Entertainment.
Adam Mchomvu, Perfect Crispin na mshkaji
AY akimkaribisha Huddah asalimie Watanzania
AY akimwambia jambo Huddah
Boss Lady Huddah akiongea na Watanzania
Full burudani
Huddah akisakata rhumba
Huddah akiwa amekula pozi na boss wa Element, Mido (mwenye shati jeusi)
Huddah akiwa kwenye geti la kuingilia Element palipokuwa na ulinzi mkali
Miss Universe Tanzania 2011, Nelly Kimwelu akisaliamina na rafiki yake
Warembo wakitabasamu mbele ya camera ya Bongo5
Black beauties
Watoto wazuri
Sexy ladies in da building
‘Hello Bongo5’
Julio katika picha ya pamoja na washkaji
Sexy ladies
Huddah akiwa na mwenyeji wake Arthur
Vanessa Mdee na Doreen Noni
Julio na warembo
Nchakali na washkaji
Muziki umekolea
Warembo ndani ya Element wakila burudani
Vanessa Mdee na Doreen
Huddah akiingia Element
Salma na Nuru 9Shosteez)
Fiderine Iranga
AY akiingia Elements
Boss lady Huddah
Cpwaa akiingia ndani ya nyumba