Habari
Photos: Redds Glamour Night
Warembo wa Ilala, Temeke na Kinondoni wakiwa na tuzo zao walizopewa na wadhamini wao Redds katika hafla ya kuwakaribisha warembo woote wataojiunga na kambi ya Miss Tanzania mwaka huu, kulia ni meneja wa kilaji cha Redds, Kabula Nshimo
Kutoka kushoto ni Jackson Kalikumtima (Mratibu Miss Ilala), Miss Tanzania/Afrika 2005 Nancy Sumari, Miss Kinondoni 2010 Alice Lushiku pamoja na Mratibu wa Miss Kinondoni Boy George.