Burudani
Phy wa Kenya ashinda shindano la Maisha Superstar (Picha)
Muimbaji wa Kenya, Phyllis Mwihaki aka Phy ndio mshindi wa shindano la Maisha Superstar.
Phy akikabidishwa cheque yake baada ya kutangazwa mshindi wa shindano la Maisha Superstar
Phy na mentor wake Rabbit
Phy alikuwa akisimamiwa (mentor) na rapper Rabbit wa Kenya.
Kwenye fainali ya shindano hilo, rookies wengi waliotumbuiza kuwania ushindi ni Spirit Soul, Damian Soul na Fi-lah pamoja na mentors wao wakiwemo AY na Jose Chameleone.
Phy amejishindia shilingi milioni 1.2 za Kenya ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 21 za Tanzania.
AY na Damian Soul
Myler na Shaa