Picha
Pic of the day: Lady Gaga alimiss kuonekana kwenye headlines
Mara ya mwisho kwa staa mwenye vituko vingi Lady Gaga kuhit headlines za mitandao ni wakati aliponunua baiskeli ya walemavu ‘wheelchair’ ya dhahabu tupu (March 2013).
Picha hii aliipiga Jumatano usiku (May 11) katika Versus Versace x J.W. Anderson launch party.