Burudani

Picha: Alikiba ndani ya kipindi cha Up Sync Battle na vazi la Brenda Fassie

Msanii wa muziki kutoka Tanzania, Alikiba, alikuwa kwenye kipindi cha runinga cha MTVBaseAfrica UP SYNC BATTLE.

Alikiba akiwa stejini

Kipindi hicho huwachukua mastaa mbalimbali wa muziki na kuwavalisha uhusika wa mtu mwingine ambapo katika kipindi cha wiki hii Alikiba alivaa kama Brenda Fassie na kuimba wimbo wake wa ‘Vulindlela’.

Alikiba ndani ya muonekano wa Brenda Fassie

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents