BurudaniUncategorized

Picha: Beyonce awafariji wahaga wa Houston

Wiki moja iliyopita mchungaji Rudy Rasmus, alisema kuwa mwanamuziki Beyonce amefanya uchangiaji mkubwa kwa wahanga wa mafuriko ya Houston kwa kuwapeleka chakula na vinginevyo.

Mwanamuziki huyo aliongozana na mwanaye Blue Ivy, mama yake mzazi na rafiki yake wa karibu Michelle Williams pamoja na team ya BeyGOOD.

Beyonce aliwafariji wahangana hao ambao hawana makazi kwa kuwapatia mlo, kufurahi nao kwa kuwakumbatia na kuapiga picha za pamoja kama ishara ya kuwa nao katika kipindi hiki kigumu wanachopitia.


Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents