Burudani

Picha: China imejenga reli inayopita ndani ya maghorofa wanayoishi watu

Kwa wakazi wa mji mmoja huko China, usafiri wa treni unapatikana barazani kwao, tena ghorofani.

Katika mji wa Chongqing nchini humo, reli ya treni imejengwa kukatiza juu ya nyumba wanamoishi wapangaji.

Chongqing, mji uliopo kusini mashariki mwa China, umefurika wakazi takriban milioni 49, kitu kilichowafanya watu wanaohusika na mipango miji kuwa wabunifu.

Kutokanana hilo walianzisha mradi uliozalisha kile kilichoitwa, Mountain City.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents