Burudani
Picha: Diamond alivyowasha moto katika tamasha la kilele cha mbio za Mwenge Zanzibar
Usiku wa Jumamosi hii Diamond Platnumz ametumbuiza katika uwanja wa Amaan katika Mkoa wa Mjini Magharibi kisiwani Zanzibar katika tamasha la kusherehekea kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na maadhimisho ya kifo cha Hayati Mwalimu Julius Nyerere.
Katika tamasha hilo Diamond alihudhuria na timu yake ya WCB akikwemo na Petit Man na wengine. Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.
Na Laila Sued