Picha: Fid Q, Wakazi, Mad Ice na wengine walivyoipamba show ya ‘Poetry Addiction’
Kampuni ya Cheusi Dawa iliyo chini ya rapper Fareed Kubanda aka Fid Q, usiku wa kuamkia leo imefanikiwa kufanya show ya kwanza iliyopewa jina la Poetry Addiction ama ‘Uraibu wa Ushairi’ kwenye ukumbi wa Triniti jijini Dar es Salaam.
Reuben Ndege akiwa na Damian
Show hiyo imeshuhudia wana hip hip na wasanii wengine wakitumbuiza live kwa band. Wasanii waliotumbuiza ni pamoja na Fid Q, Wakazi, Mad Ice, Damian Mihayo, One, Songa na wengine hizi ni baadhi ya picha za show hiyo.
Malfred akiwa akiwa na Tekla Nendeze
Cindy Rulz (wa mwisho kulia) akiwa na rafiki zake
Mad Ice akiimba kwa hisia
Chid Benz akiwa na mshikaji wake
Millard Ayo akiwa na MX wakielekezana
Big Jahman,Kerry, Snare na Buff G wa East Cost tem
Mzungu Kichaa akiwa na rafiki yake
One na Songa kwenye stage
Watangazaji wa Clouds FM, Adam Mchomvu na Perfect Crispin
Jacky Patrick na MX
Wakazi akiwa stejini
Reuben,Songa na Fid q
Lady Jay Dee ndani ya nyumba
Fid Q akiwa stejini na band
Menina akiwa na Mrisho
Buff G
Snare
Doreen Noni na Vanessa Mdee
Shade
Chid Benz akiwa stejini
Warembo
Rueben na Wakazi
Ester Wasira akimfurahia Fid Q alipokuwa stejini
Jokate katika pozi
Fid Q