Picha: Futari ya Bongo5 Media Group
Kampuni ya Bongo5 Media Group jana iliandaa futari na kuwaalika wadau wake muhimu wakiwemo wasanii wa muziki na filamu, marafiki na baadhi ya wasomaji wakubwa wa bongo5. Hizi ni baadhi ya picha.
Aunt Ezekiel na rafiki
Aunt, Lord na Godfrey
AY
Bob Junior na familia yake
Bob Junior na mkewe
Bob Junior na mwanae
Bonge la Nyau
Bonge la Nyau, TID na Bob Junior
Diva
Diva akihojiwa na Fredrick Bundala (Head of Content – Bongo5)
Dj Tass – Magic FM
Dogo Janja
Fid Q
Fred aka Skywalker akiwa na Diva baada ya interview
Kidboy na Diva
Kutoka kushoto ni Godfrey, Sandu Mpanda, Yasin Ngitu, Lord Herry na Fred
Lamar
Lameck Ditto
Lord Herry akiwa na Ommy
Luca na Ommy wakiteta jambo
Luca Neghesti akiwa na Faraja Nyalandu
Mama na mwana
Mama Rummy
Menina na kaka yake
Miongoni wa wasomaji wazuri wa Bongo5, Lord Herry na Godfrey Rugambwa
Mke wa Bob Junior
Mnyama
Moses
Mr Bond akiwa na mwanae
Debora, msichana anayesomeshwa na Diva
Mtoto wa kiume wa TID
Mtoto wa TID akionesha swag
Muigizaji wa filamu na mshindi wa ZIFF 2013, Mr Bond
Mwakilishi wa Unity Entertainment
Mwana FA akisalimiana na CEO wa Bongo5, Luca Neghesti
Mwasiti
Nancy Sumari
Nancy Sumari na Faraja Nyalandu
Nancy Sumari, Lord Herry, Godfrey Rugambwa na Luca Neghesti
Nancy, Faraja na rafiki yao
Nancy, Godfrey, Sandu, Yasin, Lord, Fred na Luca
Nancy, Luca na Ommy
Ommy Dimpoz
PNC na mshkaji wake
Q-Chilla
Rummy, mtoto wa Bob Junior
Shilole
Steve Nyerere
TID
Wakazi
Wolper Gambe