Picha

Picha: Get well soon Wema Sepetu

Guess who is eating too much chocolate! CEO wa Endless Fame Films Wema Sepetu amelazimika kujisamilisha kwa daktari wa meno baada ya ulaji wa chocolate kumponza na hivyo kuozesha baadhi ya meno yake.

eb53b55080ba11e2bd6422000a9f12df_7

Kupitia Instagram, Miss Tanzania huyo wa zamani, ameshare picha akiwa kwenye clinic ya meno kung’oa jino lililokuwa likimsumbua. “Apparently I have 8 cavities…. oh god… does this mean no more chocolate for me,” ameandika.

“An advice to my fellow chocoholics…. it so happens dat if u take a glass of red wine, u lose ur chocolate cravings,” ameongeza. Kwa waliowahi kuumwa na jino wanaujua muziki wake, so get well soon Wema.

wema 2

0c996cf080bb11e2a3d822000a1f9be5_7

4bf607be80bb11e29bea22000a1f90d2_7

501d99e680bc11e28eb922000a1fbc88_7

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents