Burudani

Picha: Hali ya ukumbi wa Serena kabla ya Lady Jaydee na Alicios Theluji kufanya show yao

Usiku wa Jumamosi hii malkia wa muziki wa Bongo Flava, Lady Jaydee anatarajiwa kufanya show yake katika ukumbi wa Serena Hotel, ambayo itakuwa ni maalum kwa ajili ya siku hiyo ya wapendanao.

Jaydee atatumbuiza katika jukwaa moja na msanii mwenzake kutoka lebo ya Taurus Musik, Alicios Theluji ambaye anaishi nchini Sweden.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents