Bongo Movie

Picha: Hayawi hayawi, Shamsa Ford aolewa

Malkia wa filamu, Shamsa Ford amefunga ndoa Ijumaa hii na mfanyabiashara wa maduka ya nguo Rashidi Saidi aka Chidi Mapenzi.

Shamsa akiwa na mume wake, Rashidi Said aka Chidi Mapenzi
Shamsa akiwa na mume wake, Rashidi Said aka Chidi Mapenzi

Shughuli hiyo imefanyika Sinza Africasana nyumbani kwa wazazi wa Shamsa Ford na kuhudhuriwa na ndugu jamaa pamoja na wasanii filamu. Angalia picha za ndoa.

Shamsa na mume wake akisaini cheti cha ndoa
Shamsa na mume wake wakisaini cheti cha ndoa

Shamsa akizungumza baada ya kufunga ndoa
Shamsa akizungumza baada ya kufunga ndoa
Watu waliojitokeza
Baadhi ya watu waliojitokezaShamsa akiwa na mume wake, Rashidi aka Chidi Mapenzi

Bi Shamsa akionyesha jinsi alivyorembwa na kurembeka
Bi Shamsa akionyesha jinsi alivyorembwa na kurembeka

IMG_0770

IMG_0775

IMG_0780

IMG_0782

IMG_0784

IMG_0794

IMG_0839

IMG_9629

IMG_9631

IMG_9632

IMG_9633

IMG_9636

IMG_9643

IMG_9644

IMG_9651

IMG_9652

IMG_9653

IMG_9655

IMG_9658

IMG_9662

IMG_9663

IMG_9664

IMG_9666

IMG_9671

Shamsa na mume wake akisaini cheti cha ndoa

Watu waliojitokeza

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents