Michezo
Picha: Heineken Tanzania yawaburudisha wapenzi wa soka kwenye fainali za UEFA champions league
Heineken Tanzania iliwaburudisha wapenzi wa soka kwenye ya fainali ya UEFA champions league pale Golden Tulip hotel. Katika mechi hiyo timu ya Real Madrid ilishinda kwa magoli 4 -1 dhidi ya Atletico Madrid.
Meneja wa Heineken Tanzania, Uche Unigwe
Mashabiki wakishangilia goli
Rais wa TFF Jamal Malinzi, kushoto akiongea na meneja wa Heineken Tanzania, Uche Unigwe
Meneja wa Heineken Tanzania, Uche Unigwe akiongea na waandishi wa habari