Burudani

Picha: Hivi ndivyo alivyokumbukwa Princess Diana

Ni takribani miaka 20 tangu Princess Diana afariki dunia kwa ajali ya gari nchi Uingereza.

Princess Diana amekumbukwa  siku ya Jumatano  ya wiki hii katika mji wa Kensington Palace alipokuwa akiishi. Princess Diana alizaliwa  mwaka 1961 Julai mosi na alifariki 31 Agosti 1977 akiwa na miaka 36. Prince Charles ambaye ni mtoto wa Malikia Elizabeth II ndiyo alikuwa mume wa Diana na walifanikiwa kupata watoto wawili ambao ni Princes William na Harry.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents