Burudani
Picha: Hivi ndivyo Korede Bello alivyotanua sikukuu ya Eid
Msanii kutoka lebo ya Mavin nchni Nigeria Korede Bello, ameonyesha ametumia muda wake wa sikukuu ya Eid akitembelea mji wa Kano.
Korede ambaye anahit na ngoma yake ya ‘My People’ aliongozana na rafiki yake mtoto wa Emir Hrh Adam Ashraf Lamido Sanusi. Wawili hao ametumia muda huo wa mapumziko kwa kundeshapia farasi ambaye kiutamaduni anafahamika kama ‘Babban Riga’ , sanjari na kisherekea sikuku ta Eid pia walitumia kufurahia tamasha la Hawan Fanisau.