Habari

Picha: Hosteli za UDSM za Mabibo zaungua moto

Hosteli za chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM zilipo katika eneo la Mabibo zimeungua moto asubuhi ya leo.

image
Wanafunzi wakishuhudia hosteli ya Mabibo ikiungua moto

Chanzo kinadaiwa kuwa ni shoti ya umeme iliyotokea kwenye bweni la wasichana. Wanafunzi wawili walijeruhiwa na kupelekwa hospitali.

Jeshi la zimamoto lilifanikiwa kuuzima moto huo.

image

Umati mkubwa wa wanafunzi umeoneka ukishuhudia moto huo bila kuwa na kitu cha kufanya huku wengine wakijaribu kuokoa mali zao.

image

Picha zinaonesha kuwa moto huo umeanzia ghorofa ya juu ambako moshi mzito umetanda.

image

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents