Picha
Picha: Idadi ya watu waliopoteza maisha kwenye ghorofa lilioanguka Dar yafikia 34
Idadi ya watu waliopoteza maisha kwenye jengo la ghorofa 16 lililoanguka Ijumaa hii katikati ya jiji la Dar es Salaam imefikia watu 34. Shughuli za kutoa vifusi inaendelea kwa siku ya tatu mfululizo leo. Tazama picha hizi mpya za operesheni hiyo.
Picha na Task Force @WaljiAli: Twitter