PichaWema Sepetu
Picha: Jacky Wolper, Wema Sepetu na Lulu, nani ni Instagram Queen wa Bongo Movie?
Kama ulikuwa hufahamu ni kwamba Instagram ndio mtandao wa kijamii kwa sasa ulio na akaunti nyingi za maceleb wa Tanzania hasa wa filamu ambao huwezi kuwaona Facebook ama Twitter.
Hii imetokana na ukweli kwamba wasanii wengi kwa sasa wana iphones, Sumsung ama simu zinazotumia mfumo wa Android na hivyo kuwa na access rahisi ya akaunti za Instagram.
Jacqueline Wolper (5890+), Wema Sepetu (14,130) na Elizabeth Michael aka Lulu (9,440+) ndio waigizaji wa filamu wenye followers wengi zaidi kwenye mtandao huo. Hivyo, kwa kutazama picha hizi, nani ni malkia wa Instagram kati ya hawa?
Jacky Wolper
Lulu
Wema Sepetu