Burudani

Picha: Jay Z asherehekea miaka 47 ya kuzaliwa na familia

Rapper nguli na tajiri wa nchini Marekani, Jay Z, Jumapili, December 4, alitimiza umri wa miaka 47.

beyonce-jay-z-nba-finals-game-june-2016

Hitmaker huyo wa Empire State Of Mind alisherehekea siku hiyo muhimu pamoja na familia na watu wake wa karibu kwa dinner maalum usiku wa Jumamosi huko Los Angeles. Kelly Rowland na Tina Knowles, mama yake Beyonce walikuwa sehemu ya wageni.

3b06a46400000578-3999222-image-a-48_1480873674356
Kelly Rowland na mume wake, Tim Witherspoon walikuwa miongoni mwa mastaa waliohudhuria sherehe hiyo

Jay Z na Beyonce, wanaopenda kufanya mambo yao kwa faragha, walilazimika kufunika mgahawa walioutumia kwa maturubai ili wasionekane kwa nje.

3b06a5ef00000578-3999222-image-a-57_1480874583355

3b06a47400000578-3999222-image-a-56_1480874473236
Mama mkwe wa Jay Z, Tina Knowles akiwa na mume wake mpya, Richard Lawson

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents