MichezoPicha

Picha: Jezi mpya za Arsenal zitakazotumiwa msimu ujao

Club ya Jijini London, Arsenal wamezindua jezi mpya zilizotengenezwa na kampuni ya Puma ambazo watazitumia katika msimu wa 2015/2016 kwa mechi za nyumbani.

Arsenal-1

Jezi hizo zenye rangi nyekundu na nyeupe zimezinduliwa katika uwanja wa Emirates na kampuni ya vifaa vya michezo Puma baada ya mkataba wa paundi milioni 30 walioingia na Arsenal mwaka jana.

Henry
Welbeck, akiongea na Gwiji wa Arsenal, Thierry Henry wakati wa uzinduzi wa jezi hizo mpya

Wachezaji
Picha Baadhi ya wachezaji wakati wa uzinduzi wa jezi mpya za nyumbani ambazo zitaanza kuuzwa Juni 25 mwaka huu.

Rosiscky

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents