Picha: Jinsi marehemu Langa Kileo alivyozikwa leo (June 17)
Ndugu, marafiki, wasanii, watu mashuhuri na watu wa aina mbalimbali leo wamejumuika kwenye mazishi ya rapper Langa Kileo aliyefariki wiki iliyopita kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam. Langa amezikwa kwenye makaburi ya Kinondoni ambapo mazishi yake yameongozwa na wazazi wake wote wawili. Hizi ni baadhi ya picha za mazishi hayo.
Kaka yake Langa na Baba yake Mzee Kileo
Lady Jaydee akitoa heshima zake za mwisho
M 2 THE P
Mama mzazi wa Langa
Aliyekuwa meneja wa Langa
B12 na Petit
Dada yake Langa
Dr Cheni
Mdogo wake Langa
Mwili wa Langa ukiombewa
Mwili wa Langa kwenye jeneza wakati ukiagwa
Ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu
Nikki Mbishi akitoa heshima zake za mwisho
Rafiki wa Langa akilia kwa uchungu
Rafiki wa Langa akilia kwa uchungu
Sauda Mwilima na Keisha
Wazazi wa Langa
Mungu ailaze roho ya marehemu Langa pepeni, Amen.