Picha
Picha: Jinsi Wachekeshaji Erick Omondi, MC Pilipili walivyowavunja mbavu wakazi wa Dar (Dec1)
Mchekeshaji maarufu wa Kenya, Erick Omondi, Jumapili ya December 1 kwenye show ya Evans Bukuku’s Comedy Club; End of the Year Special, alizivunja mbavu za wakati wa Dar es Salaam waliohudhuria. Mchekeshaji mwingine aliyetia fora alikuwa ni MC Pilipili. Tazama picha za tukio zima hapa.
Tasha akishindwa kujizuia kusimama kwa kicheko
Mchekeshaji wa Kenya, Erick Omondi
Enika
Eric Omondi
Evans Bukuku akiongea na hadhira
Evans Bukuku
Fred Saganda akichekesha kwa nyimbo
MC Pilipili alizivunja mbavu za wengi waliohudhuria
Mchekeshaji wa Marekani
Mrembo akiwa hana mbavu
Mtazamaji akicheka kwa nguvu
Mustafa Hassanali akifuatilia show
Ni Vicheko tu