PichaWema Sepetu
Picha: Jinsi Wema Sepetu alivyofuturisha nyumbani kwake
Miss Tanzania wa zamani na muigizaji wa filamu, Wema Sepetu jana alialika watu mbalimbali nyumbani kwake kwenye futari ya pamoja. Hizi ni baadhi ya picha.
“Khadija Mwanamboka na Rehema
Meneja Martin Kadinda akiwa na wageni waliofika kwa ajili ya kupata dua na futari
Miller alikuwepo
Ommy Dimpozi akiwa na Ramso Nnauye
Ommy Dimpoz
Salma Mzirai akiwa na Petit
Snura akiwa na rafiki zake
Tin Dady na Linex
Watoto wa chuo wakifanya Dua
“Wema Sepetu akiwa na mtoto wa Dada ake
Baadhi ya wageni waliofika