Burudani
Picha: Joh Makini atembelea ofisi za CMEA kuchukua ripoti ya kazi zake
Msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Kundi la Weusi, Joh Makini Jumanne hii alitembelea kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) ili kujua jinsi kampuni hiyo inavyofanya kazi.
C.E.O wa CMEA Paul Matthysse akiwa na Joh Makini katika ofisi za CMEA
Kupitia ukurasa wa instagram wa kampuni hiyo, wameweka picha inayomwonyesha Joh Makini akikabidhiwa repoti na kuandika
Operationa Manager wa CMEA Musa Abdallah akimkabidhi Joh Makini Ripoti Ya Nyimbo Zake alipotembelea Ofisi za Cmea — at Copyrights Management EA.
Operationa manager wa CMEA Bw. Musa Abdallah akitoa maelezo kwa Joh Makini na Jay Moe Jinsi CMEA inavofanya kazi
Joh Makini akikabidhiwa ripoti