Msanii wa Bongo Fleva, Jux ameachia picha mtandaoni zikimuonyesha akiwa katika mafahali kitu ambacho kinaashiria kuwa amehitumu Chuo.
Muimbaji huyo wa RnB kwa kipindi kirefu amekuwa akidai anasoma nchini China lakini watu walikuwa wakihoji kwa nini hajapost hata picha akiwa Chuo. Sasa leo hii Jux amevunja ukimya huo kwa kuachia hizi picha tano na kuandika maneno mawili tu, ‘Finally done’.
By Peter Akaro