BurudaniPicha

Picha: Jux ahitimu Chuo, China

Msanii wa Bongo Fleva, Jux ameachia picha mtandaoni zikimuonyesha akiwa katika mafahali kitu ambacho kinaashiria kuwa amehitumu Chuo.

Muimbaji huyo wa RnB kwa kipindi kirefu amekuwa akidai anasoma nchini China lakini watu walikuwa wakihoji kwa nini hajapost hata picha akiwa Chuo. Sasa leo hii Jux amevunja ukimya huo kwa kuachia hizi picha tano na kuandika maneno mawili tu, ‘Finally done’.

By Peter Akaro

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents