Habari

Picha: Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ikiwasili Clouds

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii leo iliwasili katika ofisi za Clouds Media Group na kuzungumza na uongozi wake kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari waliokuwepo hapo.

Hizi ni baadhi ya picha:


Waziri wa Habari, sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye akiipokea kamati hiyo


Pichani ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mh Peter Serukamba ( MB ) akisalimiana na Mkurugenzi wa vipindi na uendeshaji wa kituo hicho, Ruge Mtahaba

Na Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents