Habari
Picha: Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ikiwasili Clouds
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii leo iliwasili katika ofisi za Clouds Media Group na kuzungumza na uongozi wake kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari waliokuwepo hapo.
Hizi ni baadhi ya picha:
Waziri wa Habari, sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye akiipokea kamati hiyo
Pichani ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mh Peter Serukamba ( MB ) akisalimiana na Mkurugenzi wa vipindi na uendeshaji wa kituo hicho, Ruge Mtahaba
Na Emmy Mwaipopo