Tragedy

Picha kutoka msibani kwa Bi. Kidude, Zanzibar

Baada watanzania na dunia nzima kupokea taarifa ya kifo cha msanii mkongwe wa taarabu asilia, Bi. Kidude, jana Bongo5 ilifunga safari kuenda eneo la Raha Leo, kisiwani Zanzibar ambako alikuwa akiishi Marehemu.

DSC_2924

Bi. Kidude anatarajiwa kuzikwa na wadau mbalimbali kutoka kila kona ya dunia.Ikiwa katika eneo la tukio, imeongea na mjukuu mlezi wa Bi. Kidude, Omary ambaye alieleza ratiba ya mazishi na vilevile kilichosababisha kifo chake jana saa 7 mchana.

Omary amesema “Marehemu amefariki jana mchana nilipigiwa simu nikaambiwa hali ya mgojwa ni mbaya, na kweli nilifika nikamkuta hali yake haikuWa nzuri mpaka saa 7 mchana alivyotutoka.”

Bi. Kidude alikuwa anasumbuliwa na matatizo ya tumbo kama uvimbe, na pia alikuwa na kisukari.

“Marehemu atazikwa Kitumba ambapo ndipo chimbuko la baba yake mzazi. Mazishi yataanza saa 7 mchana na kuendelea kutokana na watu wengi kuWa mbali na kuhitaji kuhudhuria.

Upande wa nyuma wa nyumba ya bibi Kidude
Upande wa nyuma wa nyumba ya bibi Kidude
Baba mdogo wa warehemu bibi Kidude
Baba mdogo wa warehemu bibi Kidude

DSC_2936

DSC_2937

Mwimba taarab mkongwe Zanzibar Rukia Ramadhani
Mwimba taarab mkongwe Zanzibar Rukia Ramadhani

DSC_2908

DSC_2911

DJ DOUBLE kutoka hits fm radio Zanzibar
DJ DOUBLE kutoka hits fm radio Zanzibar
Baraka alifanyiwa interview na cloud fm
Baraka alifanyiwa interview na cloud fm
Omari,mjukuu mlezi wa bibi Kidude
Omari,mjukuu mlezi wa bibi Kidude
Ndugu ,jamaa na majirani
Ndugu ,jamaa na majirani
Baadhi ya majirani wakiomboleza eneo la tukio
Baadhi ya majirani wakiomboleza eneo la tukio

DSC_2932

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents