Michezo
Picha: Lukas Podolski atua Inter Milan baada ya kuondaka Arsenal
Mshambuliaji wa Ujerumani, Lukas Podolski ametua katika klabu ya Inter Milan ambayo kwa sasa ipo chini ya kocha Roberto Mancini.
Nyota huyo ameondoka katika klabu ya Arsenal ametua kwenye klabu hiyo ya nchini Italia Jumamosi kwaajili ya kukamilisha usajili wake.
Lukas Podolski (kulia) akishkana mikono na Roberto Mancini baada ya kukamilisha mpango wa kuhamia Inter Milan wiki iliyopita