Picha: ‘Mabibi Bomba’ waingia rasmi mjengoni, mshindi kuzawadiwa shilingi milioni 12
Shindano la Bibi Bomba linalooneshwa kupitia Clouds TV, jana limezinduliwa rasmi na jumla ya mabibi 11 wameingia kuishi kwenye jumba la pamoja kuchuana kuwania kitita cha shilingi milioni 11.
Baadhi ya wageni waalikwa”
Mabibi waliofanikiwa kuingia mjengoni ni pamoja na Fatma Abdalla,Chiku Omary,Agatha Mahinya,Rukia Mbalingwa,Mgeni Ibrahim,Veronika Kayombo na Asha Ismail. Wengine ni Rehema Nassoro, Tabitha Tungaraja,Celistina Apollo na Talaka Nyanja.
Babuu akiyarudi na mabibi
Babuu wa kitaa na Program Manager wa Clouds TV Lee Ndaisaba
“Barnaba alikuwepo kutoa burudani pamoja na Odama Band
Ben Kinyaiya akiwa na mabibi Bomba
Bibi Vero akicheza na mjukuu wake
Dude kutoka Bongo Movie pamoja na Program Manager wa Clouds TV wakikata utepe kuzindua nyumba hiyo iliyopo Mbezi Beach
Hapa sasa mabibi walikuwa na presha maana ndo ulikuwa wakati wa mchujo
Hawa ndio baadhi ya mabibi waliongia mjengoni
Hii ndo nyumba ambayo mabibi hao watakuwa wanakaa
Bibi Vero alikuwa kivutio sana, hapo akicheza kwa furaha baada ya kuambiwa kaingia mjengoni
Mabibi waliofanikiwa kuingia mjengoni ndo hawa wakiwa ndani
Kundi la kwanza la mabibi
Mabibi wakiwasili mjengoni
Mabibi wakikaribishwa kuingia mjengoni baada ya ufunguzi
Mizigo ya akina bibi Bomba ikishushwa
Kundi la pili