Habari

Picha: Mahujaji milioni 2 watua Makka kufanya Hijja

Mahujaji zaidi ya milioni mbili kutoka duniani kote wamedaiwa kuwasili mjini Makka katika nchi ya Saudi Arabia kwa ajili ya kufanya Hijja.

Hili linatokea kwa mara ya kwanza ikiwa ni miaka miwili imepita baada ya waislamu zaidi ya 2,000 kupoteza maisha mjini humo kwa kuangukiwa na kifusi wakati walipokuwa katika kutekeleza ibada kama hiyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents