Habari
Picha: Makamu wa Rais ahamia rasmi Dodoma
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ahamia rasmi mjini Dodoma leo. Baada ya Rais Magufuli kuagiza serikali ya Awamu ya tano kuhamia mjini humo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ahamia rasmi mjini Dodoma leo. Baada ya Rais Magufuli kuagiza serikali ya Awamu ya tano kuhamia mjini humo.