Habari
Picha: Makamu wa Rais aongoza maadhimisho ya siku Maadili ya Haki za Binadamu Kitaifa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza wakazi wa mji wa Dodoma katika Maadhimisho ya Siku ya Maadili ya Haki za Binadamu Kitaifa yanayofanyika kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Nyerere.
Makamu wa Rais akisalimia na Kamishna wa dawa za kulevya,Rogers William Sianga
Makamu wa Rais akizungumza na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ndugu Bahame Tom Nyanduga
Makamu wa Rais akiwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Philip Mpango
Makamu wa Rais akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Valentino Mlowola.