Picha: Malejendari wa Manchester United na Real Madrid kwenye mechi ya kirafiki
KOCHA Sir Alex Ferguson alikuwa jukwaani akishuhudia magwiji wa Old Trafford wakimenyana na magwiji wa Real Madrid katika mchezo wa kirafiki wa hisani uliofanyika jana.
Zinedine Zidane akimtoka Denis Irwin
Bryan Robson aliiongoza timu hiyo ya England mbele ya mashabiki zaidi ya 60,000.
Timu ya malejendari wa Real Madrid jana imewafunga wenzao wa Manchester United kwa mabao 2-1 kwenye mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Old Trafford, Manchester.
Mabao ya Madrid yalifungwa na Morientes dakika ya 40 ya mchezo na De La Red dakika ya 84, wakati la Man Utd likifungwa na mshambuliaji Van Nistelrooy katika dakika ya 67.
Andy Cole alidhibitiwa
Claude-Makelele-akipambana-na-Paul-Scholes
Dwight-Yorke-akipiga-shuti-pembeni-ya-Francisco
“Edwin van der Sar alikuwa shujaa kwa Man U aliokoa sana
“Fernando Hierro na Denis Irwin walikuwa Manahodha
Jaap Stam akipambana na Ruud van Nistelrooy, ambaye aliichezea kila timu kipindi kimoja
Magwiji wa Real Madrid wakimpongeza Fernando Morientes
Picha ya pamoja ya magwiji wa Real Madrid na Manchester United
Ruud van Nistelrooy baada ya kuifungia United
Sir Alex Ferguson na Sir Bobby Charlton wakiwa jukwaani