Habari

Picha: Meli kubwa zaidi duniani yakamilika

Meli kubwa zaidi duniani imekamilika ikiwa na ukubwa wa viwanja vinne vya mpira wa miguu.

34475E0400000578-3593741-image-a-3_1463470551324

Meli hiyo iliyopewa jina la ‘Harmony Of The Seas’ imechukua miezi 32 mpaka kumaliza kutengenezwa. Ina vyumba 2747, mabwawa 23 ya kuogelea, hoteli na bar, sehemu za michezo, viwanja vya helkopta lakini pia ina uwezo wa kuchukua abiria 6780.

344847EC00000578-3593741-image-a-25_1463476641104

meli

Aidha gharama za kusafiri na meli hiyo ni £900 lakini kuingia mpaka sehemu za starehe inagharimu £2,760 kwa mtu mmoja. Watengenezaji wa meli hiyo wamesema ‘Harmony Of The Seas’ ni meli yao ya 25 kwenye kampuni Royal Caribbean International fleet.

Tazama picha zaidi.

34484AB100000578-3593741-image-a-24_1463476566571

34476E9100000578-3593741-image-a-1_1463470492113

Meli 04

344763AA00000578-3593741-image-a-20_1463470952693

3445EDE100000578-3593741-image-a-7_1463470650433

Meli 03

Meli 04

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents