Habari
Picha: Mhe. Zitto afikishwa mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge
Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Kabwe amefikishwa mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhojiwa kufuatia kutoa kauli za kulidhalilisha Bunge.
Zitto alikamatwa jana katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl Julius Nyerere akitokea Kigoma na kusafirishwa mpaka Dodoma akiwa chini ya ulinzi wa polisi.
Zitto Kabwe atoa maneno mazito kwa Spika Ndugai
PICHA NA OFISI YA BUNGE