Bongo Movie

Picha: Miss Tanzania 2011, Salha Israel aigiza mpambe wa mtoto wa Rais (Jacky Wolper) kwenye movie mpya

Miss Tanzania 2011, Salha Israel ameingia kwa miguu miwili kwenye uigizaji wa filamu na hivi karibuni ataonekana kwenye filamu mpya ya kampuni ya Ray, RJ Company.

257728d424f811e3b8e822000a1fbcc7_7
Salha akiwa location na Wolper

834196e024fb11e399d822000ab5c170_7
Mtoto wa Rais, Jackie Wolper, Salha na walinzi wake watatu

Kwenye filamu hiyo ambayo haijajulikana jina lake, Jacqueline Wolper ameigiza kama mtoto wa rais na Salha akiwa mpambe na rafiki yake wa karibu.

dbea954a24fa11e3a47422000a9e28eb_7

e6195b8e24f811e39a0d22000a9f1320_7
“Ooh my my god .tnx rj cmpany i lv thz movie kwakwel. Wale mashabk kaeni mkao wakufurahi.cheza me kma mtoto wa rais omg prnsesar.ovaaa,” ameandika Wolper kwenye Instagram.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents