Burudani

Picha mpya za Ciara ‘pasua kichwa’ machoni mwa vidume

Ex wa rapper Future takribani miaka mitatu iliyopita, mwanamuziki Ciara amefungua mwaka huu kwa kuachia picha ambazo haziwezi kuwa za kawaida machoni mwa vidume.

Muimbaji huyo ambaye alijifungua mtoto wa pili April mwaka jana ametumia ukurasa wake wa Instagram kuweka picha hizo.



Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents