Burudani
Picha: Mtoto wa Michael Jackson, Paris ajiachia Hawaii na mpenzi wake
Mtoto wa marehemu Michael Jakson, Paris Jackson na mpenzi wake Michael Snoddy waliamua kwenda kupumzika kwa muda kwa kutembelea kwenye kisiwa cha Maui kilichopo Hawaii.
Paris (18) alionekana Jumatano hii kwenye fukwe hizo akifurahia pamoja na mpenzi wake huyo. Tazama picha zaidi hapa chini.