Burudani

Picha: Mwana FA, Jokate, Nick wa Pili na wasanii wengine wampa ‘tick’ January Makamba

Kuna kila dalili kuwa kizazi kipya kinahitaji kiongozi anayekielewa vyema.

10949021_671838282927474_1954841687_n

January Makamba amewashaweka wazi nia yake ya kuingia kwenye mchakato wa kuwania uongozi wa juu wan chi – urais na tayari kundi kubwa la mastaa wa Tanzania limeonekana kumpa shavu.

10957265_643838492386636_1599720563_n

Hivi karibuni wasanii kadhaa wameonekana wakipost picha zao wakiwa wameshika kitabu ‘Maswali 40/Majibu 40: Mazungumzo na January Makamba’ na huku wakinukuu baadhi ya mambo aliyosema mbunge huyo wa Bumbuli na naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.

10949068_936956896316989_718200975_n

Miongoni mwa mastaa hao ni pamoja na Mwana FA, Lamar, Nick wa Pili, Shilole, Jokate, Barnaba, Babu Tale, Yamoto Band, Peter Msechu na wengine.

10995086_1537272903204481_817382540_n

10932375_1377224239243857_1848776847_n

10986217_328955753962159_1274438327_n

10995041_761430470600820_279565216_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents