Michezo

Picha: Mwili wa mchezaji wa Fiorentina ulivyowasili kanisani kupewa heshima ya mwisho

Mwili wa marehemu Davide Astori ambaye alikuwa mchezaji na kepteni wa Fiorentina, umeagwa leo na kupewa heshima za mwisho kwenye kanisa la Santa Croce church, Florence huku maelfu ya watu na mastaa mbali mbali wa soka wakihudhuria. Hapa nchini ni picha za mwili huo ulipowasilishwa kanisani hapo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents