Burudani
Picha: Namna Heineken ilivyowaburudisha wapenzi wa tamasha la Nyama Choma
Andrew Mahiga akiwa na Arthur katika tamasha la Nyama Choma hivi karibuni jijini Dar es Salaam
Msanii wa Bongo Fleva, Cpwaa akiwa ndani la tamasha la Nyama Choma hivi karibuni jijini Dar es Salaam
Mpenzi wa burudani akifurahia kuwa ndani ya banda la Heineken ndani ya Nyama Choma festival hivi karibuni
Millard Ayo akitangaza mshindi wa shindano la Heineken ya kwenda Amsterdam nchini Hollanzi, kulia kwake Mkurugenzi Mkuu wa Heineken Uche Unigwe
Wapenzi wa Heineken wakiburudika ndani ya Nyama Choma festival
Wapenzi wa Heineken wakiburudika ndani ya Nyama Choma festival
Akbar Thabeet akijitahirisha kucheza mchezo wa pool ndani la tamasha la Nyama Choma