Picha
Picha: Ney wa Mitego,Fid Q watisha kwenye tamasha la ‘Airtel Yatosha’ Coco Beach
Wasanii mbalimbali wakiwemo Fid Q na Ney wa Mitego jana wamekamua vilivyo kwenye promotion ya Airtel Yatosha iliyofanyika Coco Beach jijini Dar es Salaam. Hizi ni baadhi ya picha za jana.
Picha kwa hisani ya michuzijr.blogspot.com/