Michezo

Picha: Neymar aendelea kuuguza majeraha ya kombe la dunia kwa ‘vekesheni’ na mpenzi wake Bruna Marquezine

Mchezaji wa timu ya taifa ya Brazil, Neymar ameendelea kupata nafuu kutokana na majeraha aliyoyapata wakati wa kombe la dunia na hivyo kuamua kwenda vekesheni kidogo na mpenzi wake Bruna Marquezine nchini Hispania.

article-0-20018B8A00000578-875_638x553
Neymar na Bruna Marquezine

Wawili hao wameonekana wakitumia muda wa pamoja kupunga upeo kwenye fukwe za Formantera. Mchezaji huyo bado amefungwa na kitu cha kuushikiliza mgongo wake. Neymar alishindwa kuendelea na mechi za kombe la dunia baada ya kujeruhiwa mgongo wake kwenye mechi ya robo fainali dhidi ya Colombia. Tazama picha zaidi za likizo yao.

article-2706825-20022FCB00000578-59_638x415

NEYMAR

article-0-20022D9D00000578-215_640x773

article-0-20022D8800000578-964_638x470

article-0-20022E3E00000578-646_640x636

article-2706825-20018B8900000578-434_638x593

article-2706825-20022ED800000578-207_638x413

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents